ZIDANE KOCHA BORA WA DUNIA, ASHINDA TUZO YA FIFA LONDON

October 23, 2017
Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane ametangazwa kuwa kocha bora katika tuzo za Fifa mjini London.
Tuzo hizo zinaendelea jijini London na Zidane amefanikiwa kubeba tuzo hiyo kutokana na mafanikio makubwa msimu uliopita akibeba La Liga na Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.
Sherehe za tuzo hizo zinaendelea jijini London, England.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »