WAZIRI MPINA AAGANA RASMI NA WATUMISHI WA NEMC.

October 24, 2017
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akitia saini katika kitabu cha wageni kwenye Ofisi za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC  alipoenda kuagana nao na kutoa neno baada ya kufanya nao kazi kama Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mifugo na Uvuvi.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina akizungumza wakati wa kuagana na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC, kulia ni mkaguzi wa Mazingira kanda ya Mashariki Bw. Jafari Chimgege na kushoto ni Dkt. Ruth Rugisha Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Baraza.
Katika Picha Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina na Baadhi  ya viongozi katika Management ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.
Picha ya Pamoja Waziri Mpina na Baadhi watumishi wa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »