Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika kikao cha
Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai-
Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,(kushoto) Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,
Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali katika Wizara ya Afya wakiwa katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji
wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017
kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,chini ya
Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),
Baadhi ya Maafisa wa Idara mbali mbali katika ya Wizara ya Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akifungua kikao
cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya
kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji
wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017
kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,
Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Dk.Jamala Adam Taib (wa pili kulia) alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa kikao cha siku moja cha Utekelezaji
wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017
kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),
Picha na Ikulu.
EmoticonEmoticon