TEMBO WANNE WAVAMIA CHUO KIKUU CHA UDOM INASEMEKANA HUENDA NI NJIA YAO WALIYOIPITA MIAKA ILIYOPITA

May 09, 2017
TEMB1
Tembo wanne leo wametinga Chuo Kikuu cha  UDOM Mkoani Dodoma na kuleta tafrani kubwa kwa wanafunzi wafanyakazi na wakazi wa maeneo hayo,  Inaaminika ni mapito yao au shoroba na tembo husifika kwa kutunza kumbukumbu kama njia aliipita miaka 50 iliyopita anaweza kurudia palepale na inawezekana ndilo lililotokea leo hii. Askari wa Mamlaka ya Wanyamapori  wanaendelea kuwadhibiti ili wasilete madhara kwa wananchi.
TEMB2 TEMB3 TEMB4

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »