RAIS YOWERI MUSEVENI AWASILI NCHINI TAYARI KWA KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) JIJINI DAR ES SALAAM

May 20, 2017
muse1
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akilakiwa na Waziri wa NIshati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam
muse2
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akisalimiana  na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »