RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE PIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA KUSAMBAZA UMEME KATIKA MIKOA YA MTWARA NA LINDI

March 05, 2017
DAN1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote mara baada ya kuwasili kiwandani hapo kwa ajili  ya kuzindua magari 580 ya kusafirisha saruji nchini.
DAN2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote mara baada ya kumkabidhi barua ya malalamiko kutoka kwa madereva wanaolalamikia utoaji wa ajira hizo kiwandani hapo.
DAN4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika viwanja hivyo vya kiwanda cha Dangote kabla kuzindua magari 580 ya kiwanda hicho yatakayosafirisha saruji nchini.
DAN5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Magari makubwa ya kusafirishia Saruji kiwanda hapo. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego.
DAN6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote mara baada ya kukagua kiwanda chake cha Saruji mkoani Mtwara.
DAN7
Mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote akimuonesha Rais Dkt. Magufuli sehemu ya Kiwanda hicho pamoja na vifaa vyake mkoani Mtwara.
DAN9
Rais Dkt. Magufuli akizungumza jambo na mmiliki huyo wa Kiwanda akiwa na mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote wakipeperusha bendera kuashiria uzinduzi rasmi wa Magari hayo 580.
DAN10
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiweka jiwe la msingi Mradi wa Kituo cha kupooza umeme kwa ajili ya kuusambaza katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo.

DAN11
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria kuzindua kituo cha kupooza umeme kwa ajili ya kuusambaza katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo.
DAN12
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wafanyakazi wa TANESCO mara baada ya kuweka jiwe la msingi la kituo cha kupooza umeme kwa ajili ya kuusambaza katika mikoa ya Lindi na Mtwara kilichopo mkoani Mtwara.
DAN13
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kabla ya kuweka jiwe la msingi la kituo cha kupooza umeme kwa ajili ya kuusambaza katika mikoa ya Lindi na Mtwara kilichopo mkoani Mtwara.
DAN14
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika kituo hicho cha kupooza umeme
DAN15
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ibada ya jumapili ya kwanza ya kwaresma katika kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara.
DAN16
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ibada ya jumapili ya kwanza ya kwaresma katika kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara.
DAN17
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwatakia heri waumini wa kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara.
DAN18
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ibada ya jumapili ya kwanza ya kwaresma katika kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara.
DAN19
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na waumini hao wa kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara
DAN20 DAN21
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wanafunzi wa Shule za Sekondari mara baada ya kusali katika kanisa la Katoliki la Watakatifu Wote jimbo la Mtwara. PICHA NA IKULU

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »