PROF.GABRIEL AMEWATAKA MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI KUJIONGEZEA UWEZO WA KITAALUMA KUTIMIZA MAJUKUMU YAO.

March 17, 2017
sh1
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa Kikao kazi kwa Maafisa hao kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh2
Naibu Katibu Mkuu Bibi Nuru Millao akitoa mrejesho wa kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano kwa mgeni rasmi wakati wa ufungaji wa hicho kwa Maafisa hao kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh3
Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa Kikao kazi kwa Maafisa hao kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh4
sh5
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa vyeti kwa kwa wadhamini kutoka TSN, TTCL, Multichoice Tanzania, TANAPA, SSRA mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh6
sh7
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa katika poicha ya pamoja na Maafisa Mawasiliano Serikalini na wadhamini wa kikao hicho mara baada ya kufungwa kwa kikao kilichofanyika Mjini Dodoma.

sh8 sh9 sh10
Baadhi ya Maafisa Mawasiliano Serikalini wakifuatilia hotuba ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel( Hayupo Pichani) wakati wa ufungaji wa kikaokazi cha mafia hao kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh11 sh12
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa katika poicha ya pamoja na Maafisa Mawasiliano Serikalini na wadhamini wa kikao hicho mara baada ya kufungwa kwa kikao kilichofanyika Mjini Dodoma.
sh13 sh14 sh15 sh16 sh17

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »