NAIBU WAZIRI LUHAGA MPINA AKAGUA MAZINGIRA KATIKA SHULE YA TUSIIME

October 06, 2016
mong1
Naibu Wziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Luhaga Mpina alipokuwa akifanya ziara ya kukagua mazingira katika shule ya secondary Tusiime iliyopo tabata jijini Dar es salaam mara baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi ya utililishaji maji taka kwenye makazi ya watu kutoka shuleni hapo.                
mong2
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina (katikati)  akipata maelezo ya jinsi gani mfumo wa utililishaji  maji taka unavyofanya kazi katika shule ya secondary Tusiime.                     
mong3
Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuipiga faini ya million kumi shule ya secondary Tusiime iliyopo Tabata jijini Dar es salaam kwa uchafuzi wa mazingira

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »