Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub
Mohammed akitoa tarifa kwa wandishi wa habari kuhusu matembezi ya
hiyari na zoezi la kuchangia Damu kwa Mkoa Mjini Magharibi yatayofanyika
tarehe 16/10/2016.
Sehemu ya wandishi wa habari
wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud
alipokuwa akitoa tarifa kuhusu matembezi ya hiyari na zoezi la kuchangia
Damu kwa Mkoa Mjini Magharibi.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar