MKUU WA MKOA MJINI MAGHARIBI ATOA TAARIFA YA MATEMBEZI YA HIYARI NA UCHANGIAJI DAMU

October 12, 2016
ku1 ku2
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed akitoa tarifa kwa wandishi wa habari kuhusu matembezi ya hiyari na zoezi la kuchangia Damu kwa Mkoa Mjini Magharibi yatayofanyika tarehe 16/10/2016.  
ku3
Sehemu ya wandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud alipokuwa akitoa tarifa kuhusu matembezi ya hiyari na zoezi la kuchangia Damu kwa Mkoa Mjini Magharibi.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »