MHE. JANUARY MAKAMBA AWATOA WASIWASI WAATHIRIKA WA TETEMEKO KAGERA

September 23, 2016

WN OMR MMZ  Mhe January Makamba akimuangalia mgonjwa Benard Kayumba (60) aliyelala kitandani katika hospital ya Mkoa wa Kagera, akitokea wilayani Karagwe baada ya kuathirika na tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera. Aliyesimama n Afisa Muuguzi waHosptal hiyo sr. leonida Lupapilo.
 WN OMR MMZ Mhe. January Makamba akimuangalia motto Asia zuberi aliyhelazwa katika hospital ya Mkoa wa kagera kutokana na homa ya Malaria, Mhe Makamaba alitembelea wahanga wa tetemeko la ardhi hosptalini hapo, alikyekaa ni bibi wa motto huyo Bi Asha Rajabu.
WN OMR MMZ Mhe January Makamba akizungumza na wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera, alipotembelea mkoani hapo kuwapa pole wana Kagera na kujionea athari za mazingira zilizosabababishwa na tetemeko hilo. (Picha zote na Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamu wa Rais)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »