WN OMR MMZ Mhe
January Makamba akimuangalia mgonjwa Benard Kayumba (60) aliyelala kitandani
katika hospital ya Mkoa wa Kagera, akitokea wilayani Karagwe baada ya
kuathirika na tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera. Aliyesimama
n Afisa
Muuguzi waHosptal hiyo sr. leonida Lupapilo.
WN OMR MMZ Mhe. January
Makamba akimuangalia motto Asia zuberi aliyhelazwa katika hospital ya
Mkoa wa kagera kutokana na homa ya Malaria, Mhe Makamaba alitembelea
wahanga wa tetemeko la ardhi hosptalini hapo, alikyekaa ni bibi wa motto
huyo Bi Asha Rajabu.WN OMR MMZ Mhe January Makamba akizungumza na wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera, alipotembelea mkoani hapo kuwapa pole wana Kagera na kujionea athari za mazingira zilizosabababishwa na tetemeko hilo. (Picha zote na Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamu wa Rais)
EmoticonEmoticon