PICHA: YANGA WAKIJIFUA NCHINI UTURUKI TAYARI KUWAKABILI MO BEJAIA JUNE 19 NCHINI ALGERIA

June 14, 2016

Kocha wa Yanga Hans van Der Pluijm akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Yanga wapo Uturuki kwa kambi maalum kwa ajli ya mchezo wa Shirikisho dhidi ya Mo Bejaia ya Algeria utakaochezwa June 19 nchini Algeria.
 Hapa akiendelea kutoa dawa kwa wachezaji wake.
 Wachezaji wakimsikiliza kocha wao.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »