Kocha
wa Yanga Hans van Der Pluijm akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Yanga
wapo Uturuki kwa kambi maalum kwa ajli ya mchezo wa Shirikisho dhidi ya
Mo Bejaia ya Algeria utakaochezwa June 19 nchini Algeria.
Wachezaji wakimsikiliza kocha wao.