Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga
Mpina Akikabidhi Zawadi kwa Washindi Wajiojishindia Zawadi Mbalimbali
Kutoka Kampuni ya Huawei Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali
Lililofanyika Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Mbeya.
Chuo
kikuu cha Mzumbe jijini Mbeya kiliendesha kongamano la Ujasiliamali
ambalo lilihuishwa na shindano la “badirika kwa vitendo” ambapo
Wanafunzi sita walijishindia zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mikononi
toka kampuni ya Huawei.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga Mpina Katika Picha ya Pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba na Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG group Imani Kajula na washindi waliojinyakulia Zawadi Mbalimbali.Mkurugenzi
wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba Ambaye naye
alitoa Mada Mbalimbali Namna ya Kukabiliana na Changamoto ya Ajira Hapa
Nchini
Afisa Mtendaji Mkuu waEAG group Imani Kajula Akitoa Mada kwenye Tamasha La Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Mkoani Mbeya
Afisa Mtendaji Mkuu waEAG group Imani Kajula Akitoa Mada kwenye Tamasha La Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Mkoani Mbeya
Katika
hafla hiyo ya usiku, Wanafunzi hao sita Elisha Tullo, Nelson Mkolozi,
Goodlove Msigwa, Agness Ngusa, Leornard Meshack walieleza walichojifunza
na jinsi watakavyotumia ujuzi wao. Mshindi wa kwanza alikuwa ni Elisha
Tullo na wa pili alikuwa Goodlove Msigwa.
Washiriki
wa Tamasha Hilo wakisikiliza Kwa Makini Mda Mbalimbali Zilizowasilishwa
Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Chuo Kikuu
Mzumbe Kampasi ya Mbeya Kuona picha zaidi za washindi na usiku wa wajasiliamali tembelea Facebook page www.facebook.com/Faharinews