Mkuu
wa Mkoa wa Mbeya amekitaka Chuo cha magereza Kiwira kilichopo wilaya ya
Rungwe KUWAANDAA askari watakasimamia MAGEUZI makubwa ndani ya jeshi la
magereza na magereza yaliopo nchini
Hayo
ameyasema leo katika ziara yake ya kikazi kutembelea Chuo hicho na
kuongea na maofisa, askari na wanafunzi wa Chuo wapatao 1,390 .
Katika
nasaha zake amesema mbali ya majukumu waliobaki ya kuwalinda wafungwa
magerezani ni vema wakaelewa kuwa jeshi hilo sasa lijielekeze ku
jiimarisha kiuchumi kwa kuanzisha na kusimamia miradi mbalimbali
itakayosaidia magereza kujitosheleza kwa chakula
Aidha
Uwepo wa wafungwa magerezani utengenezaji kuwarekebisha tabia lakini
pia kuwapatia ujuzi wafungwa kupitia kazi katika viwanda v na karakana
za magereza