MBUNGE ROSE TWEVE AKIKOMALIA SERIKALI FEDHA ZA KUWAENDELEZA VIJANA, WANAWAKE IRINGA

May 10, 2016

Mbunge wa Viti Maalum, Rose Tweve (CCM) akiuliza swali kwa Waziri wa Nnchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), bungeni Dodoma , kwamba ni fedha kiasi gani kimetengwa kwa ajili ya maendeleo ya vijana na wanawake mkoani Iringa. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG


 Mbunge wa Jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde (kushoto), akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rose Tweve (katikati) pamoja na Mbunge wa Viti Maalum, Kiteto Koshuma kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

 Taswira mbalimbali za Rose Tweve, Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Iringa




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »