Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza baada ya kupokea tuzo za wasanii wa filamu nchini
walizoshinda nchini Nigeria. Wasanii hao ni Elizabeth Michael na Single
Mtambalike. Shughuli hiyo ilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar
es salaam Machi 11, 2016. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiwa na Wasanii wa filamu Elizabeth Michael na Single Mtambalike baada
ya kupokea tuzo za wasanii hao walizoshinda nchini Nigeria. Tukio hilo
lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akipokea Tuzo kutoka kwa Msanii wa filamu Elizabeth Michael ambayo
msanii huyo alishinda nchini Nigearia. Tukio hilo lilifanyika Ofisini
kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa
akipokea tuzo kutoka kwa msanii wa filamu, Single Mtambalike ambayo
msanii huyo alishinda nchini Nigeria. Tukio hilo lilifanyika Ofisini
kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)