Waziri mkuu Majaliwa apokea tuzo za Lulu na Richie

March 11, 2016

lu1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  baada ya kupokea tuzo za wasanii wa filamu nchini walizoshinda nchini Nigeria. Wasanii hao ni Elizabeth Michael na Single Mtambalike. Shughuli hiyo ilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Wasanii wa filamu  Elizabeth Michael na Single Mtambalike baada ya kupokea tuzo  za wasanii hao walizoshinda nchini Nigeria. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea Tuzo  kutoka kwa Msanii wa filamu Elizabeth Michael ambayo msanii huyo alishinda nchini Nigearia. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lu5
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akipokea tuzo kutoka kwa msanii wa filamu, Single Mtambalike ambayo  msanii huyo  alishinda nchini Nigeria. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »