Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiongea na viongozi wa COSOTA na
wa Kampuni ya Copyright Management Eas t Africa kuhusu mfumo wa
ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi. .(Picha na Benjamin
Sawe- WHUSM)
Mkuu wa uendeshaji wa Kampuni
ya Copyright Management Eas t Africa Bw. Abdi Zagar aliesimama
akimuelekeza Mhe. Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.
Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya
kazi, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Copyright
Management Eas t Africa Bw. Paul Matthysse .(Picha na Benjamin Sawe-
WHUSM)
: Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni
ya Copyright Management Eas t Africa Bw. Paul Matthysse kulia
akimuelekeza Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape
Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya
kazi.(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)