WAZIRI NAPE AONGEA NA VIONGOZI WA COSOTA NA MKURUGENZI MKUU WA COPYRIGHT MANAGEMENT EAST AFICA BW. PAUL MATTHYSSE

February 14, 2016

np1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mhe. Nape  Nnauye akiongea na viongozi wa COSOTA na  wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi. .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
np2
 Mkuu wa uendeshaji wa Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa  Bw. Abdi Zagar aliesimama akimuelekeza  Mhe.  Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa Bw. Paul Matthysse  .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
np3
: Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa Bw. Paul Matthysse  kulia akimuelekeza Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi.(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »