Watuhumiwa
wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa nje ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu
jijini Dar es Salaam tayari kwenda kusomewa mashtaka yanayoyabili
watuhumiwa hao wanakabiliwa na mashiataka tisa yakiwemo ya matumizi
mabaya ya madaraka kwa kupitisha ununuzi wa mabehewa mabovu 25. (wapili
kulia nyuma) aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la reli Tanzania
(TRL), Kipallo Kisamfu.
Watuhumiwa
11 wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa ndani ya mahakama ya hakimu mkazi
Kisutu jijini Dar es Salaam ambapo wanatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya
madaraka kwa kupitisha ununuzi wa mabehewa mabovu 25.
Watuhumiwa
waliopandishwa kizimbani ni pamoja na Jasper Kisiraga, Mathias Massae,
Muungano Kaupunda, Ngoso Ngosomwiles, Paschal Mafikiri, Kedmon Mapunda,
Felix Kashaigili, Lowland Simtengu, Joseph Syaizyagi na Charles Ndenge.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG.