WATUHUMIWA 11 WA TRL WAFIKISHWA KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM.

February 12, 2016

????????????????????????????????????Watuhumiwa wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa nje ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam tayari kwenda kusomewa mashtaka yanayoyabili watuhumiwa hao  wanakabiliwa na mashiataka tisa yakiwemo ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kupitisha ununuzi wa mabehewa mabovu 25. (wapili kulia nyuma) aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
???????????????????????????????????? Watuhumiwa wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiingia ndani ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
????????????????????????????????????Watuhumiwa wakiwa ndani ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
????????????????????????????????????Watuhumiwa 11 wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa ndani ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam ambapo wanatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa kupitisha ununuzi wa mabehewa mabovu 25.
Watuhumiwa  waliopandishwa kizimbani ni pamoja na Jasper Kisiraga, Mathias Massae, Muungano Kaupunda, Ngoso Ngosomwiles, Paschal Mafikiri, Kedmon Mapunda, Felix Kashaigili, Lowland Simtengu, Joseph Syaizyagi na Charles Ndenge.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »