Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group,
Roberto Jarrin.(Kulia) akimsikiliza mtaalamu wa mazoezi kutoka Kituo
cha Fitness Centre, Payas Moremi (kushoto) jinsi ya kufanya mazoezi
wakati wa Siku ya Afya kwanza kwa wafanyakazi wa kampuni ya bia
Tanzania, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki .katikati
ni Afisa Mwandamizi wa TBL Oscar Shelukindo.
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL GROUP
Roberto Jarrin. Akishiriki mazoezi pamoja na wafanyakazi wenzake wakati
wa siku ya Afya kwanza yaliyofanyika kaitika viwanja vilivyopo eneo la
kiwanda hicho jijini Dar es Salaam,
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni
ya Bia Tanzania (TBL) wakiwekea alama za kupimwa afya zao wakati wa
maadhimisho ya siku upimaji wa Afya , yaliyombatana na mazoezi kwa
wafanyakzi wote wa kampuni hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni
ya Bia Tanzania (TBL) wakiwekea alama za kupimwa afya zao wakati wa
maadhimisho ya siku upimaji wa Afya , yaliyombatana na mazoezi kwa
wafanyakzi wote wa kampuni hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya bia
Tanzania (TBL) wakishiriki katika mazoezi ya viungo wakati wa
Maadhimisho ya siku ya Afya Kwanza yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Waandaaji wa maadhimsho ya siku ya Afya kwanza kwa wafanyakazi wa TBL Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja,