Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais
Mstaafu wa awamu ya nne na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.
Jakaya Kikwete mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Namfua mkoani
Singida kwa ajili ya kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa
Chama cha Mapinduzi CCM.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya
wanachama wa CCM pamoja na wakazi wa Singida kwenye uwanja wa Namfua
waliohudhuria kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa
Chama cha Mapinduzi CCM.
Rais
Mstaafu wa awamu ya nne na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.
Jakaya Kikwete akihutubia mamia ya wanachama wa CCM mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na
Rais Mstaafu wa awamu ya nne na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM
Dkt. Jakaya Kikwete kulia pamoja na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu
Hassan kwenye kilele cha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi
CCM Mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais
Mstaafu wa awamu ya nne na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.
Jakaya Kikwete pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Abruhamani Kinana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kasimu
Majaliwa katika sherehe hizo mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Abrahamani Kinana pamoja na Makamu
mwenyekiti wa CCM Taifa Philip Mangula mara baada ya kuhutubia wakazi wa
Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Rais
Mstaafu wa awamu ya nne na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.
Jakaya Kikwete wakiondoka mara baada ya kuisha kwa sherehe za kumbukumbu
ya kuzaliwa chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Singida-
Picha na IKULU