Mkuu
Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole
Gabriel(kulia) akikabidhiwa kamusi kuu mpya ya Kiswahili kutoka kwa
Katibu Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa(BAKITA) Dkt Selemani
Sewangi.Kamusi hiyo mpya ina jumla ya maneno makuu Zaidi ya elfu
thelathini na sita(36000) na kurasa 1264.
Katibu
Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt Selemani
Sewangi(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Katibu Mkuu Wizara ya
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel kwa
baadhi ya maneno ambayo yapo katika kamusi mpya iliyotolewa na Baraza
hilo leo jijini Dar es Salaam.