Mgombea
Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia
Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha
wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na
wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata),
baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam
leo.
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), Nasria Nasri (kushoto), akimueleza Mama Samia changamoto walizonazo.
Mhasibu
wa Kitengo cha Fedha, Magogoni, Charles Temba akizungumza katika
mkutano huo kuhusu changamoto mbalimbali ambapo alimuomba mama Samia,
watu wenye ulemavu watengewe luzuku.
Mwakilishi wa Walemavu, Kuruthum Dindili akimueleza Mama Samia changamoto walizonazo.
EmoticonEmoticon