Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Milongo mkoani Mwanza kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Milongo
mkoani Mwanza kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaeleza
wananchi hao kuwa CCM imewaletea Rais mchapakazi, mwenye rkodi nzuri ya
ufuatiliaji na anayechukia rushwa.
Mgombea
ubunge wa jimbo la Nyamagana Ndugu Stanslaus Mabula akihutubia wakazi
wa Milongo kwenye mkutano wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi.
Share this