YANGA SC NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

September 20, 2015

Winga wa Yanga SC, Simon Msuva (kulia) akimtoka beki wa JKT Ruvu, Napho Zuberi (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga SC ilishinda 4-1
Kiungo wa Yanga SC, Mzimbabwe Thabani Kamusoko akimtoka mshambuliaji wa JKT Ruvu, Samuel Kamuntu
Mshambuliai wa Yanga SC, Mzimbabwe Donald Ngoma akipambana na wachezaji wa JKT Ruvu, Madenge Ramadhani (chini) na George Minja (kulia)
Simon Msuva wa Yanga SC akipasua katikati ya wachezaji wa JKT Ruvu
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka kiungo wa JKT Ruvu, Ismail Aziz
Beki wa JKT Ruvu, Martin Kazila akimzuia mshambuliaji wa Yanga SC, Mrundi Amissi Tambwe

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »