Rais Kikwete akimkabidhi zawadi ya gari Jenerali Sarakikya

September 13, 2015

unnamed 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi zawadi ya gari Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mzalendo Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya wakati wa hafla ya kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa jeshi katika chuo cha Momduli Septemba 12, 2015.  Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.Jenerali Sarakikya amekabidhiwa zawadi hiyo kwa kutambua mchango wake mkubwa kwa kujenga misingi imara ya jeshi la Wananchi wa Tanzania lenye weledi na nidhamu ya hali ya juu.
(Picha na Freddy Maro)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »