Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi zawadi ya gari
Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mzalendo Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya
wakati wa hafla ya kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa jeshi katika
chuo cha Momduli Septemba 12, 2015.
Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.Jenerali
Sarakikya amekabidhiwa zawadi hiyo kwa kutambua mchango wake mkubwa kwa
kujenga misingi imara ya jeshi la Wananchi wa Tanzania lenye weledi na
nidhamu ya hali ya juu.
(Picha na Freddy Maro)