Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akimsalimia Katibu wa NEC, Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye alipowasili mpakani mwa mkoa wa Pwani na Lindi wakti
akiwasili wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, Septemba 12, 2015. Nape pia ni
Mgombea wa Ubunge jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi
Nape Nnauye akijadiliana jambo ma Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hasaan alipowasili kufanya mkutano wa kampeni
jimbo la Kilwa Kaskazini Septemba 12, 2015. Nape pia ni Mgombea wa
Ubunge jimbo la Mtama mkoa wa Lindi.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mgombea Ubunge
jimbo la Rufiji Mohammed Mchengerwa wakati wa mkutan wa kampeni
uliofanyika Sepemba 12, 2015 katika jimbo hilo.
Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la
Rufiji Dk. Seleman Rashid akiteta jambo na aliyekuwa mgombea Ubunge
jimbo la Mkuranga Adam Malima, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa
na Mama Samia katika jimbo la Rufiji septemba 12, 2015.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni
uliofanyika Septemba 12, 2015, Ikwiriri, Rufiji mkoa wa Pwani.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akionyesha kadi za CUF na Chadema,
alizopokea kutoka kwa wanachama wa vyama hivyo waliohamia CCM katika
mkutano wa kampeni uliofanyika Ikwiriri, Rufiji mkoa wa Pwani, Septemba
12, 2015.
Bibi Mwanahawa Saidi akitangaza
kuhama CUF kurejea CCM, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza
wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika
septemba 12, 2015, Ikwiriri Rufiji mkoawa Pwani.
Maelfu ya wananchi wakiwa
wamefurika katika mkutano wa kampeni wa CCM, uliofanyika septemba 12,
2015, Ikwiriri, Rufiji mkoa wa Pwani.
(Picha zote na Bashir Nkoromo)