Maafisa
Waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki wakiwa katika
picha ya Pamoja wakati wa Semina ya siku nne iliyowakutanisha kwa lengo
la kubadilishana Uzoefu, Mjini Kampala - Uganda.
Mkurugenzi
wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey
Mwakasyuka akifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa
warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi
kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana.
Mkurugenzi
wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey
Mwakasyuka akifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa
warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi
kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana.
Afisa
Habari wa Bunge Owen Mwandumbya na Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Elimu
kwa Umma Bi. Neema Kiula nao wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa
zikiwasilishwa wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha
Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini
Kampala Uganda, jana
Mkurugenzi
wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey
Mwakasyuka akiongoza mojawapo ya mijadala wakati wa warsha ya
kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge
ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana. Kushoto kwake ni
mwakilishi kutoka Bunge la Rwanda