MAAFISA WAANDAMIZI KUTOKA MABUNGE YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA KUBADILISHANA UZOEFU KAMPALA

September 01, 2015

 Maafisa Waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya Pamoja wakati wa Semina ya siku nne iliyowakutanisha kwa lengo la kubadilishana Uzoefu, Mjini Kampala - Uganda.
 Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey Mwakasyuka akifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana.
 Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey Mwakasyuka akifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana.
 Afisa Habari wa Bunge Owen Mwandumbya na Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Elimu kwa Umma Bi. Neema Kiula nao wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana
 Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey Mwakasyuka akiongoza mojawapo ya mijadala  wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana. Kushoto kwake ni mwakilishi kutoka Bunge la Rwanda

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »