Tigo yadhamini Mnazi Mkinda

June 01, 2015


TIG1 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani Ilala,  tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas.
TIG3 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani Ilala,  tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu.
TIG4 
Baadhi ya Walimu na wageni waliofika kushuhudia uzinduzi wa tamasha la Mnazi Mkinda litakalofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja tarehe 2 na 3 Juni, wakimsikiliza kwa makini Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo Bwana John Wanyancha.
TIG5 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani Ilala,  tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas, wa kwanza kushoto ni mratibu wa Tamasha hilo Haroun Kinega.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »