Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati
akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye
lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani
Ilala, tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto
kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas.
Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati
akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye
lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani
Ilala, tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu.
Baadhi
ya Walimu na wageni waliofika kushuhudia uzinduzi wa tamasha la Mnazi
Mkinda litakalofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja tarehe 2 na 3
Juni, wakimsikiliza kwa makini Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo Bwana
John Wanyancha.
Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati
akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye
lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani
Ilala, tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto
kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas, wa kwanza
kushoto ni mratibu wa Tamasha hilo Haroun Kinega.