Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (wa pili kushoto), akikata utepe
kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya tano ya Sekta ya Makazi kwa mwaka
2015 Dar es Salaam yaliyomalizika jana. Kutoka kushoto ni Msanifu
Majengo kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba Maendeleo ya Makazi, Julius Ndege,
Ofisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula waandaaji wa maonyesho
hayo, Ofisa Masoko wa EAG Group, Helen Mangare na Richard Ryaganda,
Ofisa Masoko wa EAG Group.
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akisaini kitabu cha wageni kabla
ya kufungua maonyesho hayo. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group,
Imani Kajula.
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula (katikati), akiteta jambo na
DC Makonda (kushoto) na Msanifu Majengo kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba
Maendeleo ya Makazi, Julius Ndege.
Ofisa
Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa (N.H.C), Vicent Ngaile (kulia),
akimuelekeza jambo DC Makonda baada ya kutembelea banda la shirika hilo.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Dege Eco Village, Ahzari Marik (kulia), alipotembelea banda la kampuni hiyo.
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Masaimara Gardening, Murwa Kihore Simindei
(kulia), akizungumza na DC Makonda alipotembelea banda lao.
Mwanasheria
kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ivan Amulike (wa
pili kushoto), akimuelekeza jambo DC Makonda katika maonyesho hayo. Wa
nne kulia ni Ofisa Maendeleo ya Jamii, Tumaini Iddi Setumbi na kushoto
Ofisa Ardhi, Brenda Kuringe