NIDA WATUA TANGA,WAANZA KUWAANDISHA WANANCHI WA JIJI LA TANGA NA MAENEO MENGINE MKOANI HAPA.

May 12, 2015
 Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Abdalla Lutavi, akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la usajili vitambulisho vya  Taifa, kushoto  ni Afisa Habari Mkuu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Nchini (NIDA), Rose Mdami.
Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Abdalla Lutavi, akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika zoezi la usajili vitambulisho vya Taifa, kulia ni Afisa Tawala wa Wilaya ya Tanga, Mashaka Makaku.


 Afisa Habari Mkuu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini(NIDA), Rose Mdami, akizungumza na waandishi wa habari leo namna ambavyo zoezi la usajili wa vitambulisho vya Taifa linavyoendelea na kusema kuwa hadi sasa hakuna kasoro ambazo zimejitokeza na hivyo kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi.

 Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Abdalla Lutavi, akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake, kuhusu wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la kujisajili Vitambulisho vya Taifa linaloendelea wilayani hapa.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »