Afisa Habari Mkuu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini(NIDA), Rose Mdami, akizungumza na waandishi wa habari leo namna ambavyo zoezi la usajili wa vitambulisho vya Taifa linavyoendelea na kusema kuwa hadi sasa hakuna kasoro ambazo zimejitokeza na hivyo kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi.
NIDA WATUA TANGA,WAANZA KUWAANDISHA WANANCHI WA JIJI LA TANGA NA MAENEO MENGINE MKOANI HAPA.
Afisa Habari Mkuu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini(NIDA), Rose Mdami, akizungumza na waandishi wa habari leo namna ambavyo zoezi la usajili wa vitambulisho vya Taifa linavyoendelea na kusema kuwa hadi sasa hakuna kasoro ambazo zimejitokeza na hivyo kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi.