MGOMO BARIDI, TANGA OSCAR ASSENGA May 04, 2015 OSCAR ASSENGA Abiria wa mabasi ya Mikoani kituo cha Kange Tanga wakiwa wameduwaa na kutojua cha kufanya baada ya madereva wa mabasi kugoma leo asubuhi na taarifa za hivi punde ni kuwa madereva wamekubali kuondosha magari kuelekea Mikoani. Share this Author : OSCAR ASSENGA Related Posts
EmoticonEmoticon