MGOMO BARIDI, TANGA

May 04, 2015


 Abiria wa mabasi ya Mikoani kituo cha Kange Tanga wakiwa wameduwaa na kutojua cha kufanya baada ya madereva wa mabasi kugoma leo asubuhi na taarifa za hivi punde ni kuwa madereva wamekubali kuondosha magari kuelekea Mikoani.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »