DAKIKA 90, COASTAL UNION YAITANDIKA STEND UNITED MABAO 3------------1

May 04, 2015


 Mchezaji wa Stend United, Hamis Shengo akijaribu kumtoka mchezaji wa Coastal Union Joseph Mahundi wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) leo katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.


 Mchezaji wa Stend United Pitter Mutambuzi akimiliki mpira na kujaribu kuwatoka wachezaji wa Coastal Union katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) uliochezwa leokatika uwanja wa Mkwakwani.

Mchezaji wa Stend United akimdhibiti kiungo wa Coastal Union, Abdulhalim Humuod wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) uliochezwa katika uwanja wa Mkwakwani.
Kiungo wa Coastal Union, Abdulhalim Homuod, akimtoka beki wa Stend United, Gisege Mathias wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) uliochezwa Leo  katika uwanja wa Mkwakwani,Picha kwa hisani ya tangakumekucha

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »