MATUKIO BUNGENI DODOMA

May 16, 2015

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka kwenye viwanaj vya Bunge mjini Dodoma Mei 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) bu2 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadili jambo na Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi kwenye viwanja vya Bunge Mei 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) bu3 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge wa Viti Maalum, Christawaja Mtinda (kushoto) na Christina Lissu  Mughwai a(katikati) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma  Mei15, 2015

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »