MAANDAMANO YAKIWA YANAENDELEA RAIS NKURUNZIZA AWAFUTA KAZI MAWAZIRI WA 3

May 19, 2015


Nkurunziza
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.

Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.
Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »