NYALANDU APOKEA NDEGE.

March 20, 2015

1
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na Rubani wa ndege aina ya Micro Light Nyinja, muda mfupi kabla ya kukabidhiwa ndege hiyo. Ndege hiyo ambayo imenunuliwa na kampuni ya Tanganyika Wildlife Safari ilikabidhwa kwa Waziri Nyalandu kwaajili ya kufuatilia majangili kwenye hifadhi za taifa.
unnamed
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazari Nyalandu (kushoto), akikabidhiwa ndege aina ya Micro Light Nyinja, 5H-HEL, na Mwenyekiti wa Kampuni ya Utalii ya Tanganyika Wildlife Safari, Eric Pasanisi, wengine ni Askari wa kikosi cha wanyamapori walio hudhuria makabidhiano hayo.
2
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazari Nyalandu akiwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya Utalii ya Tanganyika Wildlife Safari, Eric Pasanisi
3
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazari Nyalandu akiwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya Utalii ya Tanganyika Wildlife Safari, Eric Pasanisi pamoja na Askari wa kikosi cha wanyamapori walio hudhuria makabidhiano hayo. wakiwa katika picha ya pamoja.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »