JUMUIYA YA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) MKOA WA KILIMANJARO WAKUTANA JIMBO LA VUNJO.

March 14, 2015


Baadhi ya wananchama wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinuzi (UVCCM) wakiwa katika kikao kilichochanyika Jimbo la Vunjo.
Kamanda Msaidizi wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Moshi Vijijini ,Innocent Mellecky akizungumza katika kikao hicho kilicho shirikisha wenyeviti wote wa jumuiya hiyo mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi ya wajumbe wa Jumuiya hiyo.
Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Godliving Mushi akizungumza katika kikao hicho.
Kaimu katibu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro Joel Makwaia akizungumza jambo katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Fredrick Mushi akizungumza katika kikao hicho ,
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »