TANZANIA BLOGGER'S NETWORK (TBN) YATOA UBANI KWA WAHANGA AJALI YA MOTO DAR

February 11, 2015
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM kama pole baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam. Katikati ni mmoja wa wajumbe wa TBN, Dotto Mwaibale aliyeshiriki tukio hilo. TBN ilishiriki katika mazishi ya marehemu hao sita waliozikwa jana katika makaburi ya Airwing Dar es Salaam. Picha na Francis Dande.
wakibadilishana mawazo kabla ya kukabidhi mchango
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM kama pole baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam. Katikati ni mmoja wa wajumbe wa TBN, Dotto Mwaibale aliyeshiriki tukio hilo. TBN ilishiriki katika mazishi ya marehemu hao sita waliozikwa jana katika makaburi ya Airwing Dar es Salaam. Picha na Francis Dande.
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM kama pole baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam. Katikati ni mmoja wa wajumbe wa TBN, Dotto Mwaibale aliyeshiriki tukio hilo. TBN ilishiriki katika mazishi ya marehemu hao sita waliozikwa jana katika makaburi ya Airwing Dar es Salaam. Picha na Francis Dande.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »