HIVI NDIVYO WAFANYABIASHARA WA SOKONI NGAMIANI WANAVYONYONYOA KUKU

February 09, 2015
 Wafanyabiashara wa kuku soko kuu la Ngamiani Tanga, wakinyonyoa kuku wa mteja baada ya kununua ukiwa ni utaratibu wa wachuuzi sokoni hapo endapo mteja atapendezwa na kulipa ujira wa shilingi elfu moja kwa kuku mmoja. Kuku mmoja alikuwa akiuzwa kati ya shilingi 8,000 hadi 10,000 kulingana na ukubwa wake.






Share this

Related Posts

Previous
Next Post »