SPIKA MAKINDA APONGEZWA, PINDA AFUNGA MKUTANI WA KUHIFADHI WANYAMAPORI

November 09, 2014

unnamed
unnamed2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwenye viwanja  vya  Bunge mjini Dodoma Novemba 7, 2014 katika tafrija  ya kumpongeza Spika kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Mabunge ya  SADEC . Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Anna Abdallah na wapil kulia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela  Kairuki na kushoto ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dr. Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed3Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge Anne Makinda  (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa katiba na Sheria, Angela Kairuki  (katikati) alipotoa maelezo kuhusu zawadi ya picha  ambayo wabunge walimzawadia Spika Makinda katika tafrija ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa spika wa Mabunge ya SADEC iliyofanyia kwenye viwanja vya Bunge mjioni Dodoma Novemba 7, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed4Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge Anne Makinda  (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa katiba na Sheria, Angela Kairuki  (katikati) alipotoa maelezo kuhusu zawadi ya picha  ambayo wabunge walimzawadia Spika Makinda katika tafrija ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa spika wa Mabunge ya SADEC iliyofanyia kwenye viwanja vya Bunge mjioni Dodoma Novemba 7, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed5Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha  ambako alifunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori uliofanyika mjini Arusha Novemba 8, 2014.(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed6 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wapili  kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed7 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wapili  kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Aggrey Mwanri (kulia) baada ya kufunga Mkutano wa kupiga vita ujangili wa wanayamapori  na kuendeleza uhifadhi wa wanayamapori mjini Arusha Novemba 8, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Dkt Richard Sezibara(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »