HANDENI NA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI

May 21, 2014

GU4A0761  
MMoja ya wakulima wa Mahindi Wilaya ya Handeni mkoani Tanga Bw. Adalbertus Bubelwa wa pili kutoka kushoto akimwelezea Mkuu wa wilaya ya handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, jinsi alivyoandaa shamba lake. Mkuu huyo wa wilaya alikuwa katika ziara ya kuwatembelea wakulima katika vijiji mbalimbali wilayani humo kuangalia mazao mashambani.
GU4A1133  
Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, kushoto ambaye ni mwenye shamba akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Kilimo wa Wilaya hiyo Bw. Yibarik Chiza, aliyemtembelea Mkuu huyo wa wilaya shambani kwake

GU4A1053  
Afisa Kilimo wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Bw. Yibarik Chiza, kulia akiwaelekeza jambo wakulima wa zao la ufuta wa Kijiji cha Misima wilayani humo. 
GU4A1457  
Mkuu wa wilaya ya handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, akisalimiana na mmoja wa wananchi alipotembelea katika kijiji cha Kang’anta kuangalia maendeleo ya mdada wa mifugo na mazao ya chakula na biashara.
GU4A1303  
Mmoja wa wakulima wa nanasi wilayani Handeni Bi Sabrina Rory Sasumua, akionyesha aina ya nanasi lenye uzito wa kilo mbini na nusu kutoka katika shambani lake eneo la Kwamsisi wilayani Handeni.
GU4A1508 
Baadhi ya akina mama wa eneo la Soni katika wilaya ya Lushoto mkoani Tanga wakifanya biashara za matunda na mbogamboga. 
GU4A0898 
Shamba la mahindi katika kijiji cha Manga likionekana kustawi vya kutosha.
 (Picha Zote na Mohammed Mhina)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »