April 01, 2014

*MKUU WA MKOA WA GEITA AZINDUA MCHAKATO WA UANZISHWAJI WA MFUKO WA AFYA YA JAMII WA TIBA KWA KADI (TIKA)

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Magalula Said Magalula akifungua mkutano wa wadau mkoani Geita unatakaojadili mchakato wa uanzishaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii ujulikanao kama Tiba kwa Kadi (TIKA).
Katibu Tawala wa Mkoa  Severine Kahitwa akieleza umuhimu wa kuwa na utaratibu wa TIKA ndani ya Halmashauri ya Mji wa Geita.
Wadau wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa huo.
Sehemu ya wadau wakisikiliza maagizo kutoka kwa mgeni rasmi ya namna ya kujadiliana katika mkutano huo.
Sehemu ya wadau wakisikiliza maagizo kutoka kwa mgeni rasmi ya namna ya kujadiliana katika mkutano huo.
Mkutano huo pia haukuwanyima fursa ya kuelewa kinachozungumzwa ndani ya kikao hicho walemavu wa kusikia, mbele ni mkalimani wa walemavu hao John Mukube.
  Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya akimshukuru mgeni rasmi kwa hotuba nzuri.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakiwa katika picha ya pamoja.
1Wajumbe wakipitia mada zilizoandaliwa katika mkutano huo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »