Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na viongozi mbalimbali
alipowasili kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo April
28-2014, kwa ajili ya kuhutubia wananchi kwenye maadhimisho ya siku ya usalama
na Afya Duniani.
Afisa mkuu mwandamizi wa mazingira katika
mamlaka ya Bandari Thobias Sonda akimpa maelezo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, juu ya utumiaji wa vifaa
vya kupimia hewa, wakati alipotembelea Banda la maabara ya mkemia mkuu wa
Serikali kwenye Maonesho ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Duniani yaliyoadhimishwa leo April 28-2014,
Viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Mtaalam wa uchunguzi wa vyakula katika maabara ya
mkemia mkuu wa Serikali Edith Wilbald akimpa maelezo Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati alipotembelea
Banda la maabara ya uchunguzi wa vyakula kwenye Maonesho ya maadhimisho ya siku
ya Usalama na Afya Duniani.
Mtaalam wa uchimbaji wa madini katika mgodi wa Noth
Mara Gold Mine Paul Kagodi akimuonesha Makamu wa Rais vifaa vinavyotumika
katika kazi ya uchimbaji wa madini wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho
kwenye maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya
Duniani yaliyoadhimishwa leo.
Watumishi wa taasisi mbalimbali wakiwa
kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Duniani
yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es
salaam.
Watumishi wa taasisi mbalimbali wakiwa
kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Duniani
yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es
salaam.
Watumishi wa taasisi mbalimbali wakiwa
kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Duniani
yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es
salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea maandamano kwenye
maaadhimisho ya siku ya Usalama na Afya yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Wanamuziki wa bendi ya 'OUT Jaz Band' wakitumbuiza
kwenye maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani yaliyoadhimishwa leo.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi
Nicolas Mgaya akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali
pa kazi Duniani yaliyoadhimishwa leo
April 28-2014 katika viwanja vya mnazi
mmoja jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabizi zawadi K. Lwakatare mkuu
wa usalama na mazingira Vodacom kwenye maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya
yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 katika
viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabizi zawadi maalum Naibu Waziri
wa Kazi na Ajira Mhe. Makongoro Mahanga wakati wa maaadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali
pa kazi Duniani yaliyoadhimishwa leo April 28-2014 katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es
salaam.
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, akihutubia kwenye hafla hiyo.
Picha ya pamoja...
Picha ya pamoja....
EmoticonEmoticon