Mzee Teming'ombe akilia kwa uchungu
kufuatia kifo cha kijana wake aliyekuwa katibu wa CCM mkoa wa Iringa
Emanuel Mteming'ombe aliyerafiki usiku wa kuamkia leo katika
Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Iringa alikolazwa kwa zaidi ya siku mbili
waombolezaji wakiwa ktk hospital ya
rufaa ya mkoa wa Iringa katika maandalizi ya mwili wa aliyekuwa katibu
wa CCM mkoa wa Iringa hivi sasa
Hili ndilo jeneza ambalo mwili wa aliyekuwa katibu wa CCM mkoa marehem Emanuel Mteming'ombe utawekwa
Mwili huo unataraji kuombewa katika
kanisa la RC kichangani ama nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa kabla
ya kuondoka mida ya saa 10 jioni kwenda Rujewa Mbarali mkoa wa Mbeya
kwa mazishi yatakayofanyika kesho saa 5 asubuhi
katibu huyo alifariki dunia majira ya
saa 8 hivi usiku wa Desemba 19 usiku wa leo baada ya kulazwa katika
Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Iringa kwa tatizo la figo na Athima
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amina
EmoticonEmoticon