MATUKIO YA PICHA KATIKA MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOANI TANGA UKIJUMUISHA WADAU TOKA NHIF NA CHF .

November 06, 2013

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Ole Kuyan akimkabidhi mashuka 150 Sister Magldlena Moro  wa kituo cha Afya cha Tumaini cha mjini Tanga baada ya kufanyika kongamano la wadau wa Mfuko wa Bima ya Afya lililofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga


Mwanachama wa Bima ya Afya mkazi wa Kilindi Mkoani Tanga, Thomasi Mzinga akitoa mchango wake wa kuboreshwa kwa huduma za Afya hasa vijijini katika kongamano la wadau wa Bima ya Afya lililofanyika jana katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga.

Mwanachama wa mfuko wa Bima ya Afya Mustafa Beloka mkazi wa Mikanjuni Mkoani Tanga akichangia katika kpongamano la wadau wa Bima ya Afya lililofanyika jana katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga.

Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, Mboni Mgaza akizungumza katika kongamano la wadau wa mfuko wa Bima ya Afya lililofanyika jana katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »