| Mwanachama wa mfuko wa Bima ya Afya Mustafa Beloka mkazi wa Mikanjuni Mkoani Tanga akichangia katika kpongamano la wadau wa Bima ya Afya lililofanyika jana katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga. |
| Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, Mboni Mgaza akizungumza katika kongamano la wadau wa mfuko wa Bima ya Afya lililofanyika jana katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga. |
EmoticonEmoticon