Akizungumza na Blog hii,Ofisa habari wa shirikisho la soka hapa nchini TFF,Ipichani kulia)Boniface Wambura alisema timu hizo sasa zitacheza Jumapili kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Kimondo ilishinda bao 1-0 mechi ya kwanza iliyochezwa Julai 6 mwaka huu Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sokoine jijini Mbeya.
Mechi nyingine ya ligi hiyo itakuwa kati ya Friends Rangers ya Dar es Salaam na Polisi Jamii ya Mara, na itafanyika kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mwamuzi wa mechi hiyo ni Hans Mabena kutoka Tanga.

EmoticonEmoticon