Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi iliyopo katika Vyombo vya Usalama vilivyopo chini ya wizara yake kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama.
Amewasilisha Taarifa hizo leo jijini Dodoma ikiwa ni utaratibu wa kamati hiyo kupokea Taarifa za Utekelezaji wa Miradi iliyotolewa fedha za Serikali.








EmoticonEmoticon