DKT. MAULID AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC MAGOTI

January 17, 2026
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mheshimiwa Petro Magoti akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt. Maulid J. Maulid, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe pamoja na Mwakilishi wa Madiwani wa Mkoa wa Pwani, mara baada ya kufunga mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani.

Mh. Magoti alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Kunenge, katika hafla ya kufunga mafunzo hayo yaliyolenga kuwawezesha Madiwani kutambua na kutekeleza vyema majukumu yao ya uwakilishi wa wananchi katika kata zao. 

Mafunzo hayo yalihusisha Madiwani kutoka Halmashauri za Wilaya za Mkuranga, Kibiti na Kisarawe.

Share this

Related Posts

Latest
Previous
Next Post »