DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI JIJINI MWANZA

October 07, 2025

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwanza katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoanI Mwanza tarehe 07 Oktoba, 2025.



Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliofika kumpokea katika uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 07 Oktoba, 2025.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliofika kumpokea katika uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 07 Oktoba, 2025.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliofika kumpokea katika uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 07 Oktoba, 2025.
Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 07 Oktoba, 2025.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »