TUMEKUJA KUSIKILIZA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI BUKOMBE MKOANI GEITA

September 02, 2025

Makundi mbalimbali ya Wananchi wakiwa tayari kusikiliza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2025-2030  kupitia Wagombea Ubunge na Udiwani Mkoa wa Geita ikiwa leo ni siku ya uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Geita  kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

#ChaguaCCM

#OktobaTunatiki

#MchagueSamia

#MchagueBiteko

#KusemaNaKutenda

#KaziNaUtuTunasongaMbele

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »