DKT.NCHIMBI AWASILI MKOANI GEITA

September 05, 2025


Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiteta jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Shule ya Msingi  Masumbwe, Wilayani Mbogwe, Mkoa wa Geita leo Septemba 5, 2025.



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »