RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA BARAZA LA MAULAMAA ZANZIBAR IKULU LEO

August 23, 2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Baraza la Maulamaa Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 23-8-2024, na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na (kulia kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Othman Hassan Ngwali.(Picha na Ikulu) 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Baraza la Maulamaa Zanzibar,baada ya kumaliza mazungumzo , walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 23-8-2024, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »